Mwanzo 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha Abrahamu akamkaribia na kumuuliza: “Je, kweli utamfagilia mbali mwadilifu pamoja na mwovu?+ Ezekieli 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara tu nilipotabiri, Pelatia mwana wa Benaya akafa, nami nikaanguka chini kifudifudi na kulia kwa sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wanaobaki?”+
13 Mara tu nilipotabiri, Pelatia mwana wa Benaya akafa, nami nikaanguka chini kifudifudi na kulia kwa sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wanaobaki?”+