Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 29:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Sauti ya Yehova husikika juu ya maji;

      Mungu mtukufu hunguruma.+

      Yehova yuko juu ya maji mengi.+

       4 Sauti ya Yehova ina nguvu;+

      Sauti ya Yehova ina fahari.

  • Ezekieli 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Niliposikia sauti ya mabawa yao, ilikuwa kama sauti ya maji yenye kishindo, kama sauti ya Mweza-Yote.+ Waliposonga, ilikuwa kama sauti ya jeshi. Waliposimama tuli, waliyashusha mabawa yao.

  • Yohana 12:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+

      29 Umati uliokuwa umesimama hapo ulisikia sauti hiyo ukaanza kusema kumekuwa na mngurumo. Nao wengine wakasema: “Malaika ameongea naye.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki