Zaburi 29:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sauti ya Yehova husikika juu ya maji;Mungu mtukufu hunguruma.+ Yehova yuko juu ya maji mengi.+ 4 Sauti ya Yehova ina nguvu;+Sauti ya Yehova ina fahari. Ezekieli 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Niliposikia sauti ya mabawa yao, ilikuwa kama sauti ya maji yenye kishindo, kama sauti ya Mweza-Yote.+ Waliposonga, ilikuwa kama sauti ya jeshi. Waliposimama tuli, waliyashusha mabawa yao. Yohana 12:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+ 29 Umati uliokuwa umesimama hapo ulisikia sauti hiyo ukaanza kusema kumekuwa na mngurumo. Nao wengine wakasema: “Malaika ameongea naye.”
3 Sauti ya Yehova husikika juu ya maji;Mungu mtukufu hunguruma.+ Yehova yuko juu ya maji mengi.+ 4 Sauti ya Yehova ina nguvu;+Sauti ya Yehova ina fahari.
24 Niliposikia sauti ya mabawa yao, ilikuwa kama sauti ya maji yenye kishindo, kama sauti ya Mweza-Yote.+ Waliposonga, ilikuwa kama sauti ya jeshi. Waliposimama tuli, waliyashusha mabawa yao.
28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+ 29 Umati uliokuwa umesimama hapo ulisikia sauti hiyo ukaanza kusema kumekuwa na mngurumo. Nao wengine wakasema: “Malaika ameongea naye.”