2 Wafalme 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Alirudisha mpaka wa Israeli kuanzia Lebo-hamathi*+ hadi kwenye Bahari ya Araba,*+ kulingana na neno ambalo Yehova Mungu wa Israeli alisema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii kutoka Gath-heferi.+ Yeremia 52:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mfalme wa Babiloni aliwapiga na kuwaangamiza huko Ribla+ katika nchi ya Hamathi. Hivyo watu wa Yuda wakapelekwa uhamishoni kutoka katika nchi yao.+
25 Alirudisha mpaka wa Israeli kuanzia Lebo-hamathi*+ hadi kwenye Bahari ya Araba,*+ kulingana na neno ambalo Yehova Mungu wa Israeli alisema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii kutoka Gath-heferi.+
27 Mfalme wa Babiloni aliwapiga na kuwaangamiza huko Ribla+ katika nchi ya Hamathi. Hivyo watu wa Yuda wakapelekwa uhamishoni kutoka katika nchi yao.+