- 
	                        
            
            2 Wafalme 24:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
14 Akawapeleka uhamishoni watu wote wa Yerusalemu, wakuu wote,+ mashujaa wote hodari, na kila fundi na mfua chuma*+—aliwapeleka uhamishoni watu 10,000. Hakuna yeyote aliyebaki isipokuwa watu maskini kabisa nchini.+ 15 Basi akampeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ alimpeleka pia mama ya mfalme, wake za mfalme, maofisa wa makao yake, na viongozi wa nchi, akawapeleka uhamishoni Babiloni kutoka Yerusalemu.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Yeremia 24:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
5 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Kama hizi tini nzuri, ndivyo nitakavyowaona kwa njia nzuri wale watu wa Yuda waliohamishwa, ambao nimewatoa mahali hapa na kuwapeleka katika nchi ya Wakaldayo.
 
 -