Ezekieli 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi nikaingia na kutazama, nikaona mifano mbalimbali ya viumbe wanaotambaa na wanyama wanaochukiza+ na sanamu zote zinazochukiza* za watu wa nyumba ya Israeli;+ zilikuwa zimechongwa ukutani kuzunguka pande zote. Ezekieli 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Je, uko tayari kuwahukumu?* Mwana wa binadamu je, uko tayari kuwahukumu? Wajulishe mambo yanayochukiza ambayo mababu zao walifanya.+
10 Basi nikaingia na kutazama, nikaona mifano mbalimbali ya viumbe wanaotambaa na wanyama wanaochukiza+ na sanamu zote zinazochukiza* za watu wa nyumba ya Israeli;+ zilikuwa zimechongwa ukutani kuzunguka pande zote.
4 “Je, uko tayari kuwahukumu?* Mwana wa binadamu je, uko tayari kuwahukumu? Wajulishe mambo yanayochukiza ambayo mababu zao walifanya.+