Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 16:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “‘Samaria+ hata hakutenda nusu ya dhambi zako. Uliendelea kuzidisha mazoea yako yanayochukiza kuliko yao, hivi kwamba dada zako wakaonekana kuwa waadilifu kwa sababu ya mazoea yako yote yanayochukiza.+

  • Ezekieli 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nawe, mwana wa binadamu, je, uko tayari kulitangazia hukumu* jiji lenye hatia ya damu+ na kulijulisha mambo yake yote yanayochukiza?+

  • Luka 11:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 “Ole wenu, kwa sababu mnajenga makaburi* ya manabii ambao mababu zenu waliwaua!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki