Ezekieli 16:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “‘Samaria+ hata hakutenda nusu ya dhambi zako. Uliendelea kuzidisha mazoea yako yanayochukiza kuliko yao, hivi kwamba dada zako wakaonekana kuwa waadilifu kwa sababu ya mazoea yako yote yanayochukiza.+ Ezekieli 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nawe, mwana wa binadamu, je, uko tayari kulitangazia hukumu* jiji lenye hatia ya damu+ na kulijulisha mambo yake yote yanayochukiza?+ Luka 11:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 “Ole wenu, kwa sababu mnajenga makaburi* ya manabii ambao mababu zenu waliwaua!+
51 “‘Samaria+ hata hakutenda nusu ya dhambi zako. Uliendelea kuzidisha mazoea yako yanayochukiza kuliko yao, hivi kwamba dada zako wakaonekana kuwa waadilifu kwa sababu ya mazoea yako yote yanayochukiza.+
2 “Nawe, mwana wa binadamu, je, uko tayari kulitangazia hukumu* jiji lenye hatia ya damu+ na kulijulisha mambo yake yote yanayochukiza?+