-
Mathayo 23:29-31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnajenga makaburi ya manabii na kuyarembesha makaburi* ya waadilifu,+ 30 nanyi mnasema, ‘Kama tungeishi katika siku za mababu zetu, hatungeshirikiana nao kumwaga damu ya manabii.’ 31 Kwa hiyo, mnashuhudia dhidi yenu wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.+
-