52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua wale waliotangaza mapema kuhusu kuja kwa yule mwadilifu,+ ambaye ninyi mmemsaliti na kumuua,+
32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia kuhusu Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine.
37 Walipigwa mawe,+ walijaribiwa, walikatwa vipande viwili* kwa msumeno, walichinjwa kwa upanga,+ walitembea huku na huku wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi,+ wakiwa katika uhitaji, katika dhiki,+ wakiteswa;+