Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitanyoosha kamba ya kupimia juu ya Yerusalemu,+ kamba iliyotumika kupima Samaria+ na kutumia timazi iliyotumiwa kupima nyumba ya Ahabu,+ nami nitalifuta kabisa Yerusalemu liwe safi kama mtu anavyofuta bakuli liwe safi, akilifuta na kulipindua.+

  • Yeremia 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Na kwa manabii wa Samaria+ nimeona jambo linalochukiza sana.

      Unabii wao unachochewa na Baali,

      Nao wanawapotosha watu wangu Waisraeli.

  • Ezekieli 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Utalemewa na* ulevi na huzuni,

      Kikombe cha hofu na ukiwa,

      Kikombe cha dada yako, Samaria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki