Isaya 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+Uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+Lakini sasa wauaji wanakaa ndani yake.+ Yeremia 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+
21 Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+Uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+Lakini sasa wauaji wanakaa ndani yake.+
6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+