Zaburi 79:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chaoNa miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+ 3 Wamemwaga damu yao kama maji kotekote Yerusalemu,Na hakuna aliyebaki wa kuwazika.+ Ezekieli 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitakumwagia ghadhabu yangu, nao watakutendea kwa hasira kali. Watakata pua yako na masikio yako, na watu wako waliobaki watauawa kwa upanga. Watawachukua wana na mabinti zako, na watu wako wanaobaki watateketezwa kabisa kwa moto.+
2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chaoNa miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+ 3 Wamemwaga damu yao kama maji kotekote Yerusalemu,Na hakuna aliyebaki wa kuwazika.+
25 Nitakumwagia ghadhabu yangu, nao watakutendea kwa hasira kali. Watakata pua yako na masikio yako, na watu wako waliobaki watauawa kwa upanga. Watawachukua wana na mabinti zako, na watu wako wanaobaki watateketezwa kabisa kwa moto.+