16 Na watu wanaotabiriwa mambo hayo watatupwa katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa kali na upanga, na hakuna yeyote atakayewazika+—wao, wake zao, wana wao, au mabinti wao—kwa maana nitawamwagia msiba wanaostahili.’+
4 ‘Watakufa kwa magonjwa hatari,+ lakini hakuna atakayewaombolezea wala kuwazika; watakuwa kama mbolea kwenye ardhi.+ Wataangamia kwa upanga na kwa njaa kali,+ na maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa duniani.’