Yeremia 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na watu walewale ambao wao wanawatolea unabii watakuwa watu waliotupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga, bila yeyote wa kuwazika—wao, wake zao na wana wao na binti zao.+ Nami nitamwaga juu yao msiba wao.’+
16 Na watu walewale ambao wao wanawatolea unabii watakuwa watu waliotupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga, bila yeyote wa kuwazika—wao, wake zao na wana wao na binti zao.+ Nami nitamwaga juu yao msiba wao.’+