Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 23:46, 47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Jeshi litaletwa liwashambulie na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kuporwa.+ 47 Jeshi hilo litawapiga mawe+ na kuwakatakata kwa panga zao. Watawaua wana wao na mabinti wao+ na kuziteketeza nyumba zao kwa moto.+

  • Habakuki 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana tazama, ninawainua Wakaldayo,+

      Taifa katili na linalotenda haraka-haraka,

      Wanasambaa upesi katika maeneo makubwa sana ya dunia

      Ili wachukue kwa nguvu makao ambayo si yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki