46 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Jeshi litaletwa liwashambulie na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kuporwa.+47 Jeshi hilo litawapiga mawe+ na kuwakatakata kwa panga zao. Watawaua wana wao na mabinti wao+ na kuziteketeza nyumba zao kwa moto.+