Yeremia 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usiogope kwa sababu ya jinsi wanavyoonekana,+Kwa maana ‘mimi niko pamoja nawe ili nikuokoe,’+ asema Yehova.” Ezekieli 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope, wala usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi.”
8 Usiogope kwa sababu ya jinsi wanavyoonekana,+Kwa maana ‘mimi niko pamoja nawe ili nikuokoe,’+ asema Yehova.”
9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope, wala usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi.”