Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alipokuwa akiteseka, alimsihi* Yehova Mungu wake amwonyeshe kibali, naye akaendelea kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa mababu zake. 13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usikumbuke dhambi na makosa niliyotenda nilipokuwa kijana.

      Nikumbuke kulingana na upendo wako mshikamanifu,+

      Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+

      Nami sitazikumbuka dhambi zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki