Hesabu 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+ Zaburi 95:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu: “Hawataingia katika pumziko langu.”+ Zaburi 106:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo akainua mkono wake na kuapa kuwahusuKwamba angewaangusha nyikani;+27 Angewaangusha wazao wao miongoni mwa mataifa,Naye angewatawanya katika nchi mbalimbali.+
30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
26 Kwa hiyo akainua mkono wake na kuapa kuwahusuKwamba angewaangusha nyikani;+27 Angewaangusha wazao wao miongoni mwa mataifa,Naye angewatawanya katika nchi mbalimbali.+