Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kisha wataungama dhambi zao,+ wataungama pia dhambi na ukosefu wa uaminifu wa baba zao, nao watakiri kwamba hawakuwa waaminifu waliponipinga mimi.+

  • Ezekieli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale watakaoponyoka watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watapelekwa mateka.+ Watatambua kwamba nilikuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao usio na uaminifu* ulioniacha+ na macho yao ambayo yanatamani sana* sanamu zao zinazochukiza.+ Wataaibika na kuchukizwa na mambo yote maovu na yenye kuchukiza ambayo wametenda.+

  • Ezekieli 16:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Utakumbuka tabia yako na kufedheheka+ utakapowakaribisha dada zako, waliokuzidi umri na pia walio na umri mdogo kuliko wako, nami nitakupa wawe mabinti zako, lakini si kwa sababu ya agano lako.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki