Zaburi 78:40, 41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani+Na kumtia uchungu jangwani!+ 41 Walimjaribu Mungu tena na tena,+Nao wakamhuzunisha* Mtakatifu wa Israeli. Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+
40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani+Na kumtia uchungu jangwani!+ 41 Walimjaribu Mungu tena na tena,+Nao wakamhuzunisha* Mtakatifu wa Israeli.
10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+