Isaya 66:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana Yehova atatekeleza hukumu kwa moto,Naam, kwa upanga wake, dhidi ya wote wenye mwili;*Na watakaouawa na Yehova watakuwa wengi. Yeremia 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waangamizaji wamekuja kwenye vijia vyote vya nyikani vilivyokanyagwa sana,Kwa maana upanga wa Yehova unanyafua kuanzia mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho wa pili.+ Hakuna amani kwa yeyote.* Amosi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakipelekwa utekwani na maadui wao,Huko nitauamuru upanga, nao utawaua;+Nitawakazia macho kwa mabaya, wala si kwa mema.+
16 Kwa maana Yehova atatekeleza hukumu kwa moto,Naam, kwa upanga wake, dhidi ya wote wenye mwili;*Na watakaouawa na Yehova watakuwa wengi.
12 Waangamizaji wamekuja kwenye vijia vyote vya nyikani vilivyokanyagwa sana,Kwa maana upanga wa Yehova unanyafua kuanzia mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho wa pili.+ Hakuna amani kwa yeyote.*
4 Wakipelekwa utekwani na maadui wao,Huko nitauamuru upanga, nao utawaua;+Nitawakazia macho kwa mabaya, wala si kwa mema.+