-
Yeremia 25:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 ninaziita familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “ninamwita Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta dhidi ya nchi hii+ na dhidi ya wakaaji wake na dhidi ya mataifa haya yote yanayozunguka.+ Nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi na magofu ya kudumu.
-
-
Yeremia 51:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 “Wewe ni rungu langu la vita, silaha ya vita,
Kwa maana nitakutumia kuyavunjavunja mataifa.
Nitakutumia kuziangamiza falme.
-