Mambo ya Walawi 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitaleta dhidi yenu upanga unaolipiza kisasi kwa sababu ya kulivunja agano langu.+ Hata mkikusanyika katika majiji yenu, nitaleta magonjwa katikati yenu+ na kuwatia mikononi mwa adui.+ Isaya 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ameliinulia ishara* taifa lililo mbali;+Amewapigia mluzi waje kutoka miisho ya dunia;+Na tazama! wanakuja upesi sana.+ Yeremia 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalmeKwenye malango ya Yerusalemu,+Dhidi ya kuta zake pande zoteNa dhidi ya majiji yote ya Yuda.+
25 Nitaleta dhidi yenu upanga unaolipiza kisasi kwa sababu ya kulivunja agano langu.+ Hata mkikusanyika katika majiji yenu, nitaleta magonjwa katikati yenu+ na kuwatia mikononi mwa adui.+
26 Ameliinulia ishara* taifa lililo mbali;+Amewapigia mluzi waje kutoka miisho ya dunia;+Na tazama! wanakuja upesi sana.+
15 Kwa maana ‘ninaziita familia zote za falme za kaskazini,’ asema Yehova,+‘Nao watakuja; kila mmoja ataweka kiti chake cha ufalmeKwenye malango ya Yerusalemu,+Dhidi ya kuta zake pande zoteNa dhidi ya majiji yote ya Yuda.+