Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Lakini walichangamana na mataifa hayo+

      Na kuzikubali* njia zao.+

      36 Waliendelea kuabudu sanamu zao,+

      Nazo zikawa mtego kwao.+

  • Ezekieli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale watakaoponyoka watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watapelekwa mateka.+ Watatambua kwamba nilikuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao usio na uaminifu* ulioniacha+ na macho yao ambayo yanatamani sana* sanamu zao zinazochukiza.+ Wataaibika na kuchukizwa na mambo yote maovu na yenye kuchukiza ambayo wametenda.+

  • Ezekieli 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Akaendelea kufanya ukahaba na wana wote bora wa Ashuru, naye akajichafua+ kwa sanamu zinazochukiza* za wale aliowatamani kwa uchu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki