-
2 Wafalme 17:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Pia waliwateketeza* motoni wana wao na mabinti wao,+ wakafanya uaguzi,*+ wakatafuta ishara za ubashiri, na wakaendelea kujitoa* wenyewe kutenda maovu machoni pa Yehova, na kumkasirisha.
18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.
-