9 Lakini ukimwonya mtu mwovu aiache njia yake naye akatae kubadili njia yake, atakufa kwa sababu ya kosa lake,+ lakini wewe kwa hakika utauokoa uhai wako.*+
6 Lakini walipoendelea kumpinga na kumtukana, akayakung’uta mavazi yake+ na kuwaambia: “Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe.+ Mimi ni safi.+ Kuanzia sasa nitaenda kwa watu wa mataifa.”+