18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa kwenye Mlima Sayuni.
3 Kisha Yehova akasema: “Kama mtumishi wangu Isaya alivyotembea akiwa uchi na bila viatu kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili dhidi ya Misri+ na dhidi ya Ethiopia,+
3 Chukua kiokeo cha chuma, na ukiweke kuwa ukuta wa chuma kati yako na jiji hilo. Kisha ukaze uso wako dhidi yake, nalo litazingirwa; nawe utalizingira. Hiyo ni ishara kwa watu wa nyumba ya Israeli.+