6 Beba mizigo yako begani huku wakikutazama, nawe uende nayo gizani. Ufunike uso wako ili usiweze kuona chini, kwa maana ninakufanya uwe ishara kwa watu wa nyumba ya Israeli.”+
24 Ezekieli amekuwa ishara kwenu.+ Mtatenda kama alivyotenda. Jambo hilo litakapotukia, mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’”’”