18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa kwenye Mlima Sayuni.
3 Chukua kiokeo cha chuma, na ukiweke kuwa ukuta wa chuma kati yako na jiji hilo. Kisha ukaze uso wako dhidi yake, nalo litazingirwa; nawe utalizingira. Hiyo ni ishara kwa watu wa nyumba ya Israeli.+
24 Ezekieli amekuwa ishara kwenu.+ Mtatenda kama alivyotenda. Jambo hilo litakapotukia, mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’”’”