Ezekieli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alipozungumza nami, roho ikaingia ndani yangu na kunifanya nisimame kwa miguu yangu+ ili niweze kumsikia Yule anayezungumza nami. Danieli 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”
2 Alipozungumza nami, roho ikaingia ndani yangu na kunifanya nisimame kwa miguu yangu+ ili niweze kumsikia Yule anayezungumza nami.
19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”