Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watumishi wangu watateremsha magogo kutoka Lebanoni hadi baharini, nami nitayafunga magogo hayo mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka mahali utakaponiambia. Nitaagiza yafunguliwe, kisha unaweza kuyabeba. Na wewe utanipa chakula nitakachoomba kwa ajili ya nyumba yangu.”+

  • Ezra 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakawapa pesa wakataji wa mawe+ na mafundi,+ na kuwapa Wasidoni na Watiro vyakula na vinywaji na mafuta ili walete mbao za mierezi kupitia bahari kutoka Lebanoni mpaka Yopa,+ kwa ruhusa ya Mfalme Koreshi wa Uajemi.+

  • Matendo 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Sasa alikuwa amewakasirikia* watu wa Tiro na Sidoni. Basi wakaja kwake wakiwa na kusudi moja, na baada ya kumshawishi Blasto, mwanamume aliyesimamia nyumba ya mfalme,* wakatoa ombi la amani, kwa sababu nchi yao ilipata chakula kutoka kwa nchi ya mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki