2 Wafalme 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, miungu ya mataifa yaliyoangamizwa na mababu zangu iliyaokoa mataifa hayo? Gozani, Harani,+ Resefu, na watu wa Edeni waliokuwa Tel-asari wako wapi? Amosi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveniNa yule anayetawala* Beth-edeni;Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’
12 Je, miungu ya mataifa yaliyoangamizwa na mababu zangu iliyaokoa mataifa hayo? Gozani, Harani,+ Resefu, na watu wa Edeni waliokuwa Tel-asari wako wapi?
5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveniNa yule anayetawala* Beth-edeni;Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’