Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nilipokuwa nikitazama, niliona magurudumu manne kando ya makerubi, gurudumu moja kando ya kila kerubi, na magurudumu hayo yalionekana yaking’aa kama jiwe la krisolito.+

  • Ezekieli 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wale makerubi walikuwa wakiinuka—walikuwa viumbe hai walewale niliowaona* kwenye mto Kebari+—

  • Ufunuo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mbele ya kile kiti cha ufalme kulikuwa na kitu kinachofanana na bahari ya kioo,+ kama fuwele.

      Katikati ya kile kiti cha ufalme* na kuzunguka kile kiti kulikuwa na viumbe hai wanne+ waliojaa macho mbele na nyuma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki