Ezekieli 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nilipokuwa nikitazama, niliona magurudumu manne kando ya makerubi, gurudumu moja kando ya kila kerubi, na magurudumu hayo yalionekana yaking’aa kama jiwe la krisolito.+ Ezekieli 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wale makerubi walikuwa wakiinuka—walikuwa viumbe hai walewale niliowaona* kwenye mto Kebari+— Ufunuo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbele ya kile kiti cha ufalme kulikuwa na kitu kinachofanana na bahari ya kioo,+ kama fuwele. Katikati ya kile kiti cha ufalme* na kuzunguka kile kiti kulikuwa na viumbe hai wanne+ waliojaa macho mbele na nyuma.
9 Nilipokuwa nikitazama, niliona magurudumu manne kando ya makerubi, gurudumu moja kando ya kila kerubi, na magurudumu hayo yalionekana yaking’aa kama jiwe la krisolito.+
6 Mbele ya kile kiti cha ufalme kulikuwa na kitu kinachofanana na bahari ya kioo,+ kama fuwele. Katikati ya kile kiti cha ufalme* na kuzunguka kile kiti kulikuwa na viumbe hai wanne+ waliojaa macho mbele na nyuma.