Ezekieli 29:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Ninampa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atabeba utajiri wake na kuchukua nyara kwa wingi na kuipora; na vitu hivyo vitakuwa malipo ya jeshi lake.’ Ezekieli 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakushambulia.+
19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Ninampa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atabeba utajiri wake na kuchukua nyara kwa wingi na kuipora; na vitu hivyo vitakuwa malipo ya jeshi lake.’
11 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Upanga wa mfalme wa Babiloni utakushambulia.+