Ezekieli 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwana wa binadamu, uombolezee umati wa Misri nawe umshushe kwenye nchi iliyo chini, yeye na mabinti wa mataifa yenye nguvu, pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.* Ezekieli 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga.+ Ametiwa mikononi mwa upanga; mkokote pamoja na umati wake wote.
18 “Mwana wa binadamu, uombolezee umati wa Misri nawe umshushe kwenye nchi iliyo chini, yeye na mabinti wa mataifa yenye nguvu, pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.*
20 “‘Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga.+ Ametiwa mikononi mwa upanga; mkokote pamoja na umati wake wote.