Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova. Ezekieli 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Na mtu mwovu akiacha uovu ambao ametenda na kuanza kutenda mambo ya haki na ya uadilifu, atauhifadhi uhai wake* mwenyewe.+
5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.
27 “‘Na mtu mwovu akiacha uovu ambao ametenda na kuanza kutenda mambo ya haki na ya uadilifu, atauhifadhi uhai wake* mwenyewe.+