-
Ezekieli 24:25-27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 “Nawe, mwana wa binadamu, siku nitakapoondoa ngome yao kutoka kwao—kitu maridadi kinachowaletea shangwe, kitu wanachokipenda sana, tamaa ya moyo wao*—pamoja na wana wao na mabinti wao,+ 26 utajulishwa jambo hilo na yule aliyeponyoka.+ 27 Siku hiyo utafungua kinywa chako na kuzungumza na yule aliyeponyoka, nawe hutakuwa tena bubu.+ Utakuwa ishara kwao, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”
-