Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lililosemwa na Yeremia,+ mpaka nchi ilipolipa sabato zake.+ Sikuzote ilipokuwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji

      Na nyumba zisiwe na watu

      Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+

  • Yeremia 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mmeona msiba wote nilioleta dhidi ya Yerusalemu+ na dhidi ya majiji yote ya Yuda, na leo yamebaki magofu, bila mkaaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki