Yeremia 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Ninyi wenyewe mmeona msiba wote ambao nimeleta juu ya Yerusalemu+ na juu ya majiji yote ya Yuda, na, tazama, hayo leo ni mahali palipoharibiwa, na ndani yake hamna mkaaji.+
2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Ninyi wenyewe mmeona msiba wote ambao nimeleta juu ya Yerusalemu+ na juu ya majiji yote ya Yuda, na, tazama, hayo leo ni mahali palipoharibiwa, na ndani yake hamna mkaaji.+