Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga damu nyingi sana isiyo na hatia mpaka alipojaza Yerusalemu damu hiyo kutoka mwisho mmoja hadi mwingine,+ mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda kwa kufanya maovu machoni pa Yehova.

  • Yeremia 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Lakini macho yako na moyo wako unakazia tu faida yako isiyo ya haki,

      Kumwaga damu isiyo na hatia,

      Na kufanya ulaghai na unyang’anyi.’

  • Mika 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia mnakula nyama ya watu wangu+

      Na kuwachuna ngozi,

      Mnapasua mifupa yao, na kuivunja vipandevipande,+

      Kama kitu kinachopikwa ndani ya chungu,* kama nyama ndani ya chungu cha kupikia.

  • Zekaria 11:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Yehova Mungu wangu anasema hivi: ‘Lichunge kundi la kondoo wanaopaswa kuchinjwa,+ 5 ambao wanachinjwa na wanunuzi wao+ lakini wanunuzi hao hawahesabiwi kuwa na hatia. Na wale wanaowauza+ husema, “Yehova na asifiwe, kwa maana nitakuwa tajiri.” Na wachungaji wao hawawahurumii.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki