Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja wakati watumishi wake walipokuwa wakilizingira jiji hilo.

  • 2 Wafalme 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Akawapeleka uhamishoni watu wote wa Yerusalemu, wakuu wote,+ mashujaa wote hodari, na kila fundi na mfua chuma*+—aliwapeleka uhamishoni watu 10,000. Hakuna yeyote aliyebaki isipokuwa watu maskini kabisa nchini.+

  • Danieli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Mfalme Nebukadneza akamwagiza Ashpenazi ofisa mkuu wa makao yake ya kifalme awalete baadhi ya Waisraeli,* kutia ndani wale wanaotoka katika uzao wa kifalme na wa watu mashuhuri.+

  • Danieli 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa baadhi ya vijana hao walikuwa wa kabila la* Yuda: Danieli,*+ Hanania,* Mishaeli,* na Azaria.*+

  • Danieli 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mara moja Arioko akampeleka Danieli mbele ya mfalme na kumwambia: “Nimempata mwanamume fulani miongoni mwa watu waliohamishwa kutoka Yuda+ anayeweza kukueleza maana ya ndoto yako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki