Danieli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Mfalme Nebukadneza akamwagiza Ashpenazi ofisa mkuu wa makao yake ya kifalme awalete baadhi ya Waisraeli,* kutia ndani wale wanaotoka katika uzao wa kifalme na wa watu mashuhuri.+ Danieli 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa baadhi ya vijana hao walikuwa wa kabila la* Yuda: Danieli,*+ Hanania,* Mishaeli,* na Azaria.*+
3 Kisha Mfalme Nebukadneza akamwagiza Ashpenazi ofisa mkuu wa makao yake ya kifalme awalete baadhi ya Waisraeli,* kutia ndani wale wanaotoka katika uzao wa kifalme na wa watu mashuhuri.+
6 Sasa baadhi ya vijana hao walikuwa wa kabila la* Yuda: Danieli,*+ Hanania,* Mishaeli,* na Azaria.*+