Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kisha tukawapa maliwali* wa mfalme+ na magavana waliokuwa Ng’ambo ya Mto*+ maagizo ya mfalme, nao wakawategemeza watu na nyumba ya Mungu wa kweli.+

  • Esta 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo waandishi wa mfalme wakaitwa wakati huo katika mwezi wa tatu, yaani, mwezi wa Sivani,* siku ya 23, wakaandika mambo yote ambayo Mordekai aliwaamuru Wayahudi, na pia maliwali,+ magavana, na wakuu wa mikoa*+ kuanzia India mpaka Ethiopia, mikoa* 127, kila mkoa* kwa mwandiko wake wenyewe* na kila kikundi cha watu kwa lugha yao wenyewe na kwa Wayahudi katika mwandiko wao wenyewe* na lugha yao.

  • Danieli 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Mfalme Nebukadneza akatuma ujumbe ili kuwakusanya maliwali, wasimamizi, magavana, washauri, watunza-hazina, waamuzi, mahakimu, na wasimamizi wote wa mikoa* waje kwenye sherehe ya kuzindua sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa amesimamisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki