Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+

      Atawanusuru kutoka kwa waovu na kuwaokoa,

      Kwa sababu wanamkimbilia yeye.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+

      Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+

  • Danieli 3:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuru lenye moto mkali na kusema: “Shadraki, Meshaki, na Abednego, ninyi watumishi wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+ tokeni nje, mje hapa!” Shadraki, Meshaki, na Abednego wakatoka katikati ya moto. 27 Na maliwali, wasimamizi, magavana, na maofisa wakuu wa mfalme waliokuwa wamekusanyika mahali hapo+ wakaona kwamba moto haukuwadhuru* wanaume hao;+ hakuna unywele hata mmoja wa vichwa vyao uliokuwa umeungua, majoho yao hayakuwa yamebadilika, na miili yao haikuwa hata na harufu ya moto.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki