Danieli 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Danieli akafunuliwa siri hiyo katika maono wakati wa usiku.+ Basi Danieli akamsifu Mungu wa mbinguni. Danieli 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza,+ mimi, Danieli, niliona maono, baada ya yale niliyoona mwanzoni.+
19 Kisha Danieli akafunuliwa siri hiyo katika maono wakati wa usiku.+ Basi Danieli akamsifu Mungu wa mbinguni.
8 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza,+ mimi, Danieli, niliona maono, baada ya yale niliyoona mwanzoni.+