Danieli 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Belshaza+ wa Babiloni, Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake.+ Kisha akaandika ndoto hiyo;+ akaandika masimulizi kamili ya mambo hayo. Danieli 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Basi, mimi Danieli, roho yangu ilifadhaika kwa sababu maono ya kichwa changu yaliniogopesha.+
7 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Belshaza+ wa Babiloni, Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake.+ Kisha akaandika ndoto hiyo;+ akaandika masimulizi kamili ya mambo hayo.