Isaya 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Sasa nenda, iandike juu ya bamba mbele yao,Na uiandike katika kitabu,+Ili itumike siku ya baadayeKama ushahidi wa kudumu.+ Habakuki 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Yehova akanijibu: “Andika maono haya, na uyaandike waziwazi kwenye mabamba,+Ili anayeyasoma kwa sauti, ayasome kwa urahisi.*+ Ufunuo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ikisema: “Yale unayoona, yaandike katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba: katika Efeso,+ katika Smirna,+ katika Pergamamu,+ katika Thiatira,+ katika Sardi,+ katika Filadelfia,+ na katika Laodikia.”+
8 “Sasa nenda, iandike juu ya bamba mbele yao,Na uiandike katika kitabu,+Ili itumike siku ya baadayeKama ushahidi wa kudumu.+
2 Kisha Yehova akanijibu: “Andika maono haya, na uyaandike waziwazi kwenye mabamba,+Ili anayeyasoma kwa sauti, ayasome kwa urahisi.*+
11 ikisema: “Yale unayoona, yaandike katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba: katika Efeso,+ katika Smirna,+ katika Pergamamu,+ katika Thiatira,+ katika Sardi,+ katika Filadelfia,+ na katika Laodikia.”+