Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Sasa nenda, iandike juu ya bamba mbele yao,

      Na uiandike katika kitabu,+

      Ili itumike siku ya baadaye

      Kama ushahidi wa kudumu.+

  • Habakuki 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kisha Yehova akanijibu:

      “Andika maono haya, na uyaandike waziwazi kwenye mabamba,+

      Ili anayeyasoma kwa sauti, ayasome kwa urahisi.*+

  • Ufunuo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ikisema: “Yale unayoona, yaandike katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba: katika Efeso,+ katika Smirna,+ katika Pergamamu,+ katika Thiatira,+ katika Sardi,+ katika Filadelfia,+ na katika Laodikia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki