Habakuki 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+ Habakuki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:2 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2018, kur. 13-14
2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+