-
Danieli 2:39, 40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+
40 “Ufalme wa nne utakuwa wenye nguvu kama chuma.+ Kwa maana kama vile chuma kinavyopondaponda na kusagasaga vitu vingine vyote, naam, kama chuma kinachovunjavunja, ufalme huo utapondaponda na kuzivunjavunja falme hizo zote.+
-