Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 miguu yake ilikuwa ya chuma,+ na kwa sehemu, nyayo zake zilikuwa za chuma na kwa sehemu zilikuwa za udongo wa mfinyanzi.*+

  • Danieli 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kisha nikataka kujua mengi zaidi kuhusu yule mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti na wale wengine; alikuwa mwenye kuogopesha isivyo kawaida; alikuwa na meno ya chuma na makucha ya shaba, naye alikuwa akinyafua na kuvunjavunja, na kukanyaga-kanyaga chini kwa miguu yake kilichobaki;+

  • Danieli 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Alisema hivi: ‘Kuhusu yule mnyama wa nne, kuna ufalme wa nne utakaotokea duniani. Utakuwa tofauti na falme nyingine zote, nao utainyafua dunia yote na kuikanyaga-kanyaga chini na kuivunjavunja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki