Danieli 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi+ watapokea ule ufalme,+ nao wataumiliki ufalme huo+ milele, naam, milele na milele.’ Danieli 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Na ufalme na utawala na utukufu wa falme chini ya mbingu zote ulikabidhiwa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme wa milele,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’
18 Lakini watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi+ watapokea ule ufalme,+ nao wataumiliki ufalme huo+ milele, naam, milele na milele.’
27 “‘Na ufalme na utawala na utukufu wa falme chini ya mbingu zote ulikabidhiwa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme wa milele,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’